Home / Masomo ya Biblia / Roho mtakatifu

Roho mtakatifu

Roho mtakatifu ndiye chanzo cha kweli. Imeandikwa Yohana 14:16-17 "Nami nitamwomba Baba naye atawapa msaidizi mwingine ili akae nanyi hata milele ndiye roho wa kweli amabaye ulimwengu hauwezi kumpokea kwa kuwa haumwoni wala haumtambuibali ninyi mnamtambua maana anakaa kwenu naye atakuwa ndani yenu."

Kupokea Roho mtakatifu ni kuzaliwa upya. Imeandikwa, Yohana3:5-7 "Yesu akajibu amin amin, nakwambia mtu asipo zaliwa kwa maji na kwa Roho hawezi kuingia katika ufalme wa Munngu kilicho zaliwa kwa mwili ni mwili na kilicho zaliwa kwa roho ni roho usistaaajabu kwa kuwa nilikwambia hamna budi kuzaliwa mara ya pili."

Kupata Roho mtakatifu uliza kisha amini naye atakushukia na kukuongoza. Imeandikwa, luka 11:13 "Basi ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyemaje! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa roho mtakatifu hao wamwombao?." Matendo ya mitume 5:32 "Na sisi tumashahidi wa mambo haya pamoja na Roho mtakatifu ambaye Mungu amewapa wote wamtiio."

Roho mtakatifu ni oja wapo ya ungu yani ungu Baba, mwana naye Roho mtakatifu. Imeandikwa Matendo ya mitume 5:3, 4 "Petro aksea, Anania kwa nini shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho mtakatifu na kuzuia kwa siri sehemu ya dhamani ya kiwanja kilipokuwa kwako hakikuwa mali yako na kilipokuwa kimekwisha kuuzwa, dhamani yake haikuwa katika uwezo wako? ili kuwaje hata ukaweka neno hilo mwonyoni mwako? haukumwambia uongo mwanadamu bali Mungu."

Roho takatifu ni Mungu anaye ishi nadani ya waqle wanao mwamini. Imeandikwa, Mathayo 18:19-20 "Amin nawaambieni yo yote takayofunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni na yo yote mtakayoyafungua duniani yatafunguliwa mbinguni... tena nawaambia ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote watakaloliomba watafanyiwa na Baba yangu aliye mbiguni kwa kuwa walipo wawili watatu waekusanyika kwa jina langu nami nipo papo hapo katikati yao."

Roho mtakatifu yupo nasi wakati wataabu, Imeandikwa, Mathayo 10:19-20 Lakini hapo watakapo wapeleka msifikiri -fikiri jinsi mtakavyosema maana mtapewa saa ile takayosema kwa kuwa ninyi msemao bali ni Roho wa Baba asemaye ndani yenu."

Roho mtakatifu hutu saidia kumwabunu Mungu. Imeandikwa Yohana 4:23-24 "lakini saa inakuja, nayo saa ipo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika Roho na kweli kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu Mungu ni Roho nao wamwabudu katika roho na kweli."

Roho hutupa uwezo wa kunena mambo ya kiroho na uwezo. Imeandikwa, Matendo ya mitume 1:8 "Lakini mtapokea nguvu akisha kuwajilia juu yenu Roho mtakatifu nanyi mtakuwa mashahidi ktika Yeresalemu na katika uyahudi wote na Samaria na mwisho wa nchi."