Home / Masomo ya Biblia / Zinaa ya Maharimu

Zinaa ya Maharimu

Biblia imekataa kufanya zinaa ya maharimu. imeandikwa Walawi 18:6 "Mtu ye yote aliyewakwenu asmkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu mimi ndimi Bwana."