mahali pakupata majibu katika Biblia
Bibileinfo.com inasaidia watu katika ulimwengu wote, kueleza watu jinsi Biblia inavyosema kuhusu majibu katika maisha. Utapata usaidizi na maelekezo, kutoka kwa neno la Mungu.
Bibileinfo.com inasaidia watu katika ulimwengu wote, kueleza watu jinsi Biblia inavyosema kuhusu majibu katika maisha. Utapata usaidizi na maelekezo, kutoka kwa neno la Mungu.
Je! Bibilia ya funza nini kuhusu ndoa?. Imeandikwa, Mathayo 19:5-6 "Asema kwasabu hiyo mtu atamwacha babye na mamaye ataambatana na mkewe na hao wawili watakua mwili mmoja? hata wamekua si wawili tena bali mwili mmoja basi aliowaunganisha Mungu mwanadamu asiwatenganishe."