mahali pakupata majibu katika Biblia

Bibileinfo.com inasaidia watu katika ulimwengu wote, kueleza watu jinsi Biblia inavyosema kuhusu majibu katika maisha. Utapata usaidizi na maelekezo, kutoka kwa neno la Mungu.

Kukomaa

Kukua kwa kiroho huanza na shemu ndogo kisha kukua na kuelewa mabo magumu. Imeandikwa Waebrania 6:1 "Kwa sababu hiyo tukiacha kuyanena mafundisho ya kwanza ya Kristo tukaze mwendo ili tuufikilie ukamilifu tusiweke msingi tena wa kuzitubia kazi zisizo na uhai na wakua na imani kwa Mungu."."