Kukua kwa kiroho huanza na shemu ndogo kisha kukua na kuelewa mabo magumu. Imeandikwa Waebrania 6:1 "Kwa sababu hiyo tukiacha kuyanena mafundisho ya kwanza ya Kristo tukaze mwendo ili tuufikilie ukamilifu tusiweke msingi tena wa kuzitubia kazi zisizo na uhai na wakua na imani kwa Mungu."."