Kuto amini kuwa Mungu yupo ni upuzu imeandikwa Zaburi 14:1 "Mpumbavu asema moyoni hakuna mungu wame haribu matendo yao na kufanya chukizo hakuna atendaye mema."
Mambo ya mungu ni upuzi kwa asiye amini imeandikwa 1Wakorintho 2:14 "Basi wanadamu watabia ya asili haya pokei mambo ya Roho wa Mungu maana kwake huyo niupuzi wala hawezi kufahamu kwa kuwa yatambulika kwa jinsi ya rohoni."
Mpumbavu hana msimamo imeandikwa Medhali 29:11 "Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote bali mwenye hekima huizuia na kuituliza."