mahali pakupata majibu katika Biblia

Bibileinfo.com inasaidia watu katika ulimwengu wote, kueleza watu jinsi Biblia inavyosema kuhusu majibu katika maisha. Utapata usaidizi na maelekezo, kutoka kwa neno la Mungu.

Wakimbiaji

Mungu hutoa ahadi kwa wele wanoa kimbia katika maisha haya. Imeandikwa. Isaya 40:29-31 Huwapa nguvu wazimiao humwongezea nguvu yeye asiye kuwa na uwezo hata vijana watazimia na kuchoka na wanaume vijana wataanguka bali wao wamngogojeao Bwana watapata nguvu mpya watapanda juu kwa mbawa kama tai watapiga mbio, wala hawatachoka wtakwenda kwa miguu, wala hawatazimia."

Daily Bible Reading

Acts 25-28
Chapter 25 1 Now when Festus was come into the province, after three days he ascended from Caesarea to Jerusalem. 2 Then the high priest and the chief of the Jews informed him against Paul, and besought him, 3 And desired favour against him, that he would send for him to Jerusalem, laying wait in the way to kill him. 4 But Festus answered, that Paul should be kept at Caesarea, and that he himself...