mahali pakupata majibu katika Biblia

Bibileinfo.com inasaidia watu katika ulimwengu wote, kueleza watu jinsi Biblia inavyosema kuhusu majibu katika maisha. Utapata usaidizi na maelekezo, kutoka kwa neno la Mungu.

Deni

Ni madeni yapi tunapaswa kujushugulisha nayo? Imeandikwa Warumi 13:8 "Msiwiwe na mtu cho chote isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria."

Lipa madeni kwa wakati wake. imeandikwa Methali 3:27-28 " Usiwanyime watu mema yaliyo haki yao, ikiwa katika uwezo wa mkono wako kuyatenda. Usimwambiye jirani yako, nenda urudi halafu, nakesho nita kupa; nawe unacho kitu kile karibu nawe."

Huna uhuru ikiwaunalo madeni. Imeandikwa Mithali 22:7 "Tajiri humtawala maskini, naye akopaye nimtumwa wake akopeshaye."

Daily Bible Reading

2 Peter 1-3
Chapter 1 1 Simon Peter, a servant and an apostle of Jesus Christ, to them that have obtained like precious faith with us through the righteousness of God and our Saviour Jesus Christ: 2 Grace and peace be multiplied unto you through the knowledge of God, and of Jesus our Lord, 3 According as his divine power hath given unto us all things that pertain unto life and godliness, through the...