mahali pakupata majibu katika Biblia

Bibileinfo.com inasaidia watu katika ulimwengu wote, kueleza watu jinsi Biblia inavyosema kuhusu majibu katika maisha. Utapata usaidizi na maelekezo, kutoka kwa neno la Mungu.

Upumbavu

Kuto amini kuwa Mungu yupo ni upuzu imeandikwa Zaburi 14:1 "Mpumbavu asema moyoni hakuna mungu wame haribu matendo yao na kufanya chukizo hakuna atendaye mema."

Mambo ya mungu ni upuzi kwa asiye amini imeandikwa 1Wakorintho 2:14 "Basi wanadamu watabia ya asili haya pokei mambo ya Roho wa Mungu maana kwake huyo niupuzi wala hawezi kufahamu kwa kuwa yatambulika kwa jinsi ya rohoni."

Mpumbavu hana msimamo imeandikwa Medhali 29:11 "Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote bali mwenye hekima huizuia na kuituliza."

Daily Bible Reading

Acts 9-12
Chapter 9 1 And Saul, yet breathing out threatenings and slaughter against the disciples of the Lord, went unto the high priest, 2 And desired of him letters to Damascus to the synagogues, that if he found any of this way, whether they were men or women, he might bring them bound unto Jerusalem. 3 And as he journeyed, he came near Damascus: and suddenly there shined round about him a light from...